iqna

IQNA

bomu
Mwanamke wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameokolewa kutokana na vifusi vya mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israeli kwenye nyumba za Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza unaokaliwa kwa Mabavu akiwa ameshikilia Qur’ani Tukufu mikononi mwake na kuishikiria kwa nguvu bila kuiachia
Habari ID: 3477766    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

TEHRAN (IQNA)- Watu saba wameuawa wakiwa katika darsa ya Qur’ani Tukufu katika hujuma iliyotekelezwa mjini Peshawar, kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3473301    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27

TEHRAN (IQNA) - Mlipuko mkubwa umeutikisa mji mkuu wa Lebanon, Beirut ambapo taarifa zinasema watu wasiopungua 100 wamepoteza maisha. Yamkini idadi hiyo ikaongezeka kwani baadhi ya waliojueruhiwa wako katika hali mahututi.
Habari ID: 3473034    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA)-Bomu limelipuka katika mlango wa msikiti mjini Benghazi, Libya Ijumaa baada ya sala ya Alfajiri na kuwajeruhiwa watu saba.
Habari ID: 3471105    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/05

Raia wasiopungua 160 wameuawa kinyama katika mji mkuu wa Yemen Sana'a baada ya ndege za kijeshi za Saudi Arabia kuwashambulia walipokuwa katika kikao cha mazishi.
Habari ID: 3470606    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/09

Watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
Habari ID: 3470420    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/28

Waziri wa Mashauri ya Kigeni Iraq, Ibrahim Jafari amesema magaidi wa ISIS (Daesh) wanatega ma bomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu ili kuzuia jeshi la Iraq kuingia mji wa Fallujah.
Habari ID: 3470373    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/09

Iran imelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya hospitali moja nchini Yemen.
Habari ID: 3407236    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/28