Habari Maalumu
IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni kusitisha ukiukaji wa makubaliano ya...
17 Nov 2025, 11:03
IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud...
16 Nov 2025, 15:45
IQNA – Je, ni vipi maandishi ya kidini kama Qur’ani Tukufu yanaweza kuthibitishwa kuwa sahihi na kusomwa kwa kutumia akili mnemba (AI) ya kisasa?
16 Nov 2025, 15:37
IQNA – Mkutano wa kimataifa kuhusu mustakabali wa dunia na masuala mapya ya kifalsafa utafanyika mtandaoni tarehe 20 Novemba, sambamba na Siku ya Falsafa...
16 Nov 2025, 15:18
IQNA-Vehbi Ismail Haki (1919–2008) alikuwa mwandishi, imam na msomi mashuhuri kutoka Albania aliyechangia pakubwa kusambaza utamaduni wa Kiislamu na maarifa...
16 Nov 2025, 15:06
IQNA – Baada ya tukio la uhalifu wa chuki lililoripotiwa ambapo dada Muislamu alivamiwa na kufuatwa karibu na Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu ya kuvaa...
16 Nov 2025, 14:47
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu / 11
IQNA – Ushirikiano na watu binafsi pamoja na taasisi zinazojitahidi kuandaa mazingira ya ndoa na kuundwa kwa familia kwa vijana ni miongoni mwa mifano...
15 Nov 2025, 21:00
IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi...
15 Nov 2025, 11:34
IQNA – Katika ujumbe wake kwa washiriki wa mashindano ya 17 ya kitaifa ya Qur’ani “Mudha Mattan”, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian,...
15 Nov 2025, 11:12
Qur’ani ni Chemchemi ya Maarifa
IQNA – Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa akili mnemba (AI) inapaswa kutumika kwa lengo la kuendeleza Qur’ani Tukufu, akibainisha...
15 Nov 2025, 08:16
IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa Akili Mnemba (AI) au akili ya kutengenezwa kimitambo haiwezi kufikia hadhi ya akili ya mwanadamu...
15 Nov 2025, 10:32
IQNA – Qur’an Tukufu ni ramani ya kuishi maisha mema, amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iran, akiongeza kuwa wale wanaoshikamana zaidi na Qur’ani huishi...
14 Nov 2025, 20:14
IQNA – Wavamizi wa Kizayuni wasiokuwa halali waliharibu msikiti katika mji wa Deir Istiya, Ukingo wa Magharibi, usiku wa Alhamisi, wakichoma sehemu za...
14 Nov 2025, 20:26
IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
14 Nov 2025, 19:33
IQNA – Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu ya Qatar imezindua maonyesho ya Qur’an sambamba na toleo la 30 la Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin...
14 Nov 2025, 20:02
IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee...
14 Nov 2025, 18:49