IQNA

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi...

Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha...

Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu...

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Mwanasiasa kutoka Venezuela, Bi Maria Corina Machado, ambaye ametunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2025, ametakiwa kuomba msamaha na kujitenga...
Habari Maalumu
Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
11 Oct 2025, 18:19
Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran

Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba...
10 Oct 2025, 23:38
Sherehe  ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

Sherehe ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

IQNA – Sherehe ya watu wa Gaza kwa ajili ya kusitishwa kwa vita ni yao pekee, si ya Donald Trump, ambaye ametangaza kuwa atatembelea eneo hilo kuchukua...
10 Oct 2025, 23:31
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika...
10 Oct 2025, 19:20
Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

IQNA – Mtaalamu wa chuo kikuu mjini Mashhad nchini Iran amesema kuwa Qur'ani inatoa mwongozo wa kivitendo na wa kimaadili kusaidia jamii kukabiliana na...
10 Oct 2025, 19:07
Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Jamia Syeda Fatima Al-Zahra ulioko Bank Lane, Blackburn, ambao kwa sasa unaendesha shughuli zake ndani ya jengo la baa ya zamani, umepata kibali...
10 Oct 2025, 18:57
Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kiroho na kimaadili wa sala, akiitaja kuwa miongoni mwa ibada zenye maana kubwa na zinazotoa...
09 Oct 2025, 13:13
Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

IQNA – Baraza la Sayansi ya Qur’ani Tukufu linalohusiana na usimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) limezindua kozi ya tatu ya mafunzo kwa wasomaji wa...
08 Oct 2025, 23:06
Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya  Msikiti Minneapolis, Marekani

Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya Msikiti Minneapolis, Marekani

IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha...
08 Oct 2025, 23:03
Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

IQNA – Maonesho ya kimataifa ya Qur’ani yenye mwingiliano wa kisasa, yaliyopewa jina la “Ulimwengu wa Qur’ani”, yamehitimishwa rasmi mjini Kazan nchini...
08 Oct 2025, 22:51
Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

IQNA – Serikali ya Algeria imetangaza kuwa zaidi ya wanafunzi 900,000 wamejiandikisha katika shule za Qur’ani na Zawiya, ikieleza mafanikio makubwa katika...
08 Oct 2025, 22:40
Ugunduzi wa Hazina Zilizofichika’: Qari wa Iraq Asifu Mashindano ya Qur’an ya Iran

Ugunduzi wa Hazina Zilizofichika’: Qari wa Iraq Asifu Mashindano ya Qur’an ya Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iraq na mtangazaji wa televisheni Sayyid Hassanayn al-Hulw ameisifu mashindano mapya ya Qur’an ya Iran yaliyopewa jina la “Zayin...
08 Oct 2025, 22:28
Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jumba la Makumbusho moja jijini Istanbul limezindua uzoefu wa hali halisi ya mtandao (Virtual Reality – VR) unaowawezesha wageni kutembelea Msikiti...
07 Oct 2025, 21:07
Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

IQNA – Mahakama ya rufaa nchini Sweden (Uswidi) imesitisha hukumu dhidi ya Rasmus Paludan, mwanasiasa wa mrengo wa kulia mwenye uraia wa Denmark na Sweden,...
07 Oct 2025, 20:51
Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema...
07 Oct 2025, 20:24
Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

IQNA – Mamlaka ya utawala wa Kizayuni imezuia Sheikh Ikrima Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la al-Quds (Jerusalem)...
07 Oct 2025, 20:13
Picha‎ - Filamu‎