IQNA

Mtaalamu wa Lebanon: Iran imezima Mpango wa Marekani na Israel wa “Mashariki ya Kati Mpya”

IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa...

Usomaji wa Surah Al-Nasr kwa Sauti ya Qari kutoka Afrika ya Kati

IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma...

Msikiti Mkuu wa Makka waandaa darasa maalum za Qur’ani kwa wanawake

IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.

Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa Kiislamu Imeanza mtandaoni

IQNA-Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu Imeanza kwa Njia ya Mtandao
Habari Maalumu
Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko...
19 Jul 2025, 17:54
Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

IQNA – Baraza Kuu la Fatwa la Syria limesema mojawapo ya kanuni zisizopingika za Uislamu ni marufuku ya usaliti na kushirikiana na adui Mzayuni au Muisraeli...
19 Jul 2025, 18:01
Warsha ya kuhifadhi  Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

Warsha ya kuhifadhi Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
19 Jul 2025, 17:48
Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

IQNA – Idara inayosimamia kaburi au Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza usambazaji wa takriban nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu na...
19 Jul 2025, 17:38
Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi  wakati Hija

Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi wakati Hija

IQNA – Karibu watu milioni mbili waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina wakati wa msimu wa Hija...
19 Jul 2025, 17:28
Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Afisa mmoja wa masuala ya utamaduni kutoka Iran amesema kwamba matembezi makubwa ya kila mwaka ya Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kuonesha ustaarabu...
18 Jul 2025, 18:45
Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za...
18 Jul 2025, 18:39
Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).
18 Jul 2025, 18:33
Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
18 Jul 2025, 18:24
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua...
18 Jul 2025, 18:16
Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani...
17 Jul 2025, 10:49
Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
17 Jul 2025, 22:07
Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika...
16 Jul 2025, 17:39
Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel...
16 Jul 2025, 17:33
Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa...
16 Jul 2025, 17:50
Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia...
16 Jul 2025, 17:29
Picha‎ - Filamu‎