IQNA

Imam Khamenei: Iran inasonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi.

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapiga hatua na kusonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi.

Ripoti: Mufti wa zamani wa Syria ahukumiwa kifo

IQNA – Baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kuwa Sheikh Badreddin Hassoun, aliyewahi kuwa Mufti Mkuu wa Syria katika utawala wa Bashar al-Assad, amehukumiwa...

Mchango wa Wanawake Katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Afisa wa Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ambayo...

Hafla ya usomaji wa Qur’ani katika Haram ya Imamu Ali (AS)

IQNA – Hafla maalumu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu imefanyika wiki hii katika haram tukufu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq.
Habari Maalumu
Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta...
10 Dec 2025, 17:45
Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini...
10 Dec 2025, 17:35
Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na...
10 Dec 2025, 17:09
Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

IQNA – Kadiri siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (AS) inavyokaribia, maelfu ya matawi ya maua halisi yamepamba uwanja na ukumbi wa haram...
10 Dec 2025, 16:56
Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu...
10 Dec 2025, 16:48
Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 3

Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
09 Dec 2025, 16:18
Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

IQNA – Tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kimaasai ipo mbioni kukamilika. Mradi huu mkubwa unaoendeshwa na Taasisi ya Mohammed Bakari ya Kenya unalenga...
09 Dec 2025, 16:08
Maelfu ya Maqari wa Qur’ani waomba dua ya amani na usalama Kano, Nigeria

Maelfu ya Maqari wa Qur’ani waomba dua ya amani na usalama Kano, Nigeria

IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki,...
09 Dec 2025, 15:40
Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Iran: Hatua ya Awali Yaendelea

Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Iran: Hatua ya Awali Yaendelea

IQNA – Hatua ya awali ya Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kwa ushiriki wa washiriki kutoka nchi mbalimbali....
09 Dec 2025, 15:16
Mashindano makali katika Mpango wa Qur’ani wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri

Mashindano makali katika Mpango wa Qur’ani wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri

IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na...
09 Dec 2025, 14:56
Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika...
08 Dec 2025, 18:24
Video: Mahmoud Shahat Anwar asoma Qur’ani kwenye ufunguzi wa Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Misri

Video: Mahmoud Shahat Anwar asoma Qur’ani kwenye ufunguzi wa Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Misri

IQNA – Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri yamefunguliwa tarehe 6 Disemba 2025 kwa qira’a ya qari mashuhuri wa Misri, Mahmoud Shahat...
08 Dec 2025, 18:29
Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

IQNA – Msichana Muirani ambaye amekamilisha kuhifadhi Qur'ani yote ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya Qur'an kwa walio na ulemavu...
08 Dec 2025, 18:17
Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imechapisha rasmi tangazo la video la Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu mubashara, yatakayopeperushwa...
08 Dec 2025, 18:08
Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki...
08 Dec 2025, 17:02
Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Toleo la 32 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Misri limeanza Jumamosi katika Mji Mkuu wa Utawala wa nchi hiyo.
07 Dec 2025, 20:33
Picha‎ - Filamu‎