IQNA

Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa...

Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

IQNA-Duru ya tatu kwa mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani nchini Nepal imeingia hatua ya mwisho, Jumapili. Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Da‘wa na Mwongozo...

Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

IQNA – Hafla ya kuaga kundi la kwanza la wanafunzi wanaoelekea katika ibada ya Hija ndogo ya Umrah kutoka vyuo vikuu imefanyika mjini Tehran Jumapili,...

Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

IQNA – Wazungumzaji katika mkutano kuhusu Maulana Jalaluddin Rumi uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, wameangazia namna dunia ya sasa inavyohitaji mafundisho...
Habari Maalumu
Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni kusitisha ukiukaji wa makubaliano ya...
17 Nov 2025, 11:03
Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud...
16 Nov 2025, 15:45
Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

IQNA – Je, ni vipi maandishi ya kidini kama Qur’ani Tukufu  yanaweza kuthibitishwa kuwa sahihi na kusomwa kwa kutumia akili mnemba (AI) ya kisasa?
16 Nov 2025, 15:37
Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

IQNA – Mkutano wa kimataifa kuhusu mustakabali wa dunia na masuala mapya ya kifalsafa utafanyika mtandaoni tarehe 20 Novemba, sambamba na Siku ya Falsafa...
16 Nov 2025, 15:18
Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

IQNA-Vehbi Ismail Haki (1919–2008) alikuwa mwandishi, imam na msomi mashuhuri kutoka Albania aliyechangia pakubwa kusambaza utamaduni wa Kiislamu na maarifa...
16 Nov 2025, 15:06
Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

IQNA – Baada ya tukio la uhalifu wa chuki lililoripotiwa ambapo dada Muislamu alivamiwa na kufuatwa karibu na Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu ya kuvaa...
16 Nov 2025, 14:47
Kuandaa Mazingira ya Ndoa kwa Vijana; Mfano wa Ushirikiano Katika Qur’ani
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu / 11

Kuandaa Mazingira ya Ndoa kwa Vijana; Mfano wa Ushirikiano Katika Qur’ani

IQNA – Ushirikiano na watu binafsi pamoja na taasisi zinazojitahidi kuandaa mazingira ya ndoa na kuundwa kwa familia kwa vijana ni miongoni mwa mifano...
15 Nov 2025, 21:00
Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi...
15 Nov 2025, 11:34
Rais wa Iran: Mashindano ya Qur’ani ni Jukwaa la Kukuza Ushirikiano

Rais wa Iran: Mashindano ya Qur’ani ni Jukwaa la Kukuza Ushirikiano

IQNA – Katika ujumbe wake kwa washiriki wa mashindano ya 17 ya kitaifa ya Qur’ani “Mudha Mattan”, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian,...
15 Nov 2025, 11:12
Ayatullah Makarim Shirazi atoa wito wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) kwa msingi wa Kiislamu
Qur’ani ni Chemchemi ya Maarifa

Ayatullah Makarim Shirazi atoa wito wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) kwa msingi wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa akili mnemba (AI) inapaswa kutumika kwa lengo la kuendeleza Qur’ani Tukufu, akibainisha...
15 Nov 2025, 08:16
Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa Akili Mnemba (AI) au akili ya kutengenezwa kimitambo haiwezi kufikia hadhi ya akili ya mwanadamu...
15 Nov 2025, 10:32
Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

IQNA – Qur’an Tukufu ni ramani ya kuishi maisha mema, amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iran, akiongeza kuwa wale wanaoshikamana zaidi na Qur’ani huishi...
14 Nov 2025, 20:14
Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

IQNA – Wavamizi wa Kizayuni wasiokuwa halali waliharibu msikiti katika mji wa Deir Istiya, Ukingo wa Magharibi, usiku wa Alhamisi, wakichoma sehemu za...
14 Nov 2025, 20:26
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
14 Nov 2025, 19:33
Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

IQNA – Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu ya Qatar imezindua maonyesho ya Qur’an sambamba na toleo la 30 la Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin...
14 Nov 2025, 20:02
Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee...
14 Nov 2025, 18:49
Picha‎ - Filamu‎