IQNA

Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Wanafunzi thelathini wa Qatar wameshiriki katika kozi ya majira ya joto ya wiki tatu iliyoandaliwa na Kituo cha Elimu ya Qur'ani cha Al Noor kwa lengo la kuboresha kuhifadhi Qur'ani Tukufu na kukuza ujuzi wa kielimu.
14:10 , 2025 Jul 25
Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano kati ya Wizara ya Wakfu na Wizara ya Elimu.
14:02 , 2025 Jul 25
Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) iliyopo Najaf, Iraq, imetangaza kuwa inaendelea na maandalizi makubwa kwa ajili ya kuwapokea Wafanyaziyara wengi wanaotarajiwa kufika kwa ziyara ya Arbaeen ijayo.
13:55 , 2025 Jul 25
Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
13:45 , 2025 Jul 25
Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa  Papa Leo

Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa Papa Leo

IQNA-Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kidini nchini Iran amemwandikia barua Papa Leo XIV akisema: "Mienendo ya kikatili na isiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni pamoja na kuzuia kupelekwa chakula na mahitaji muhimu kwa watu wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kidini, kibinadamu, maadili na sheria za kimataifa."
11:04 , 2025 Jul 25
Usomaji wa Tartili wa Aya ya 139 ya Surah Al-Imran kwa Sauti ya Ali Akbar Kazemi + Video

Usomaji wa Tartili wa Aya ya 139 ya Surah Al-Imran kwa Sauti ya Ali Akbar Kazemi + Video

IQNA-Katika kuunga mkono kampeni ya Qur’ani Tukufu iitwayo Fath inayoendeshwa na Shirika la Habari la Kimataifa la Qur’ani (IQNA), msomaji mashuhuri na mwalimu wa kimataifa wa Qur’ani, Ali Akbar Kazemi, amesoma kwa tartili Aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
14:08 , 2025 Jul 24
Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amewataka viongozi wa Kiislamu na Kiongozi wa Kanisa Katoliki kushikamana dhidi ya mzingiro wa Israel huko Gaza, ambako njaa inazidi kupelekea janga kubwa la kibinadamu.
10:02 , 2025 Jul 24
Jaji wa Iran asisitiza uadilifu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia

Jaji wa Iran asisitiza uadilifu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur’ani, Gholam Reza Shahmiveh, amezungumzia umuhimu wa uadilifu na kuwepo kwa Iran katika jopo la majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani ya Malaysia.
21:31 , 2025 Jul 23
Sheikh Mkuu wa Al-Azhar atoa wito kwa dunia kusaidia Gaza kukabiliana na njaa

Sheikh Mkuu wa Al-Azhar atoa wito kwa dunia kusaidia Gaza kukabiliana na njaa

IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, Imamu Mkuu wa Al-Azhar, ametoaito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kuingilia kati mara moja kuokoa watu wa Gaza dhidi ya baa la njaa linalokatili maisha ya wengi.
21:21 , 2025 Jul 23
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yapokea zaidi ya maombi 5,600 kwa toleo la 2026

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yapokea zaidi ya maombi 5,600 kwa toleo la 2026

IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limevutia maombi 5,618 kutoka nchi 105, ikiwa ni idadi ya juu zaidi hadi sasa, ambapo asilimia 30 ya waliowasilisha maombi ni wanawake.
21:07 , 2025 Jul 23
Warsha ya Qur’ani Katika Msikiti wa Mtume yalenga kukuza utaalamu wa Qira’at

Warsha ya Qur’ani Katika Msikiti wa Mtume yalenga kukuza utaalamu wa Qira’at

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu misingi ya Qira’at kumi za Qur’ani Tukufu imezinduliwa katika Msikiti wa Mtume (SAW) - Al Masjid an Nabawi, mjini Madina, Saudi Arabia.
21:00 , 2025 Jul 23
Matembezi ya Arbaeen ni Dhamira Hai ya Mafundisho ya Qur’ani

Matembezi ya Arbaeen ni Dhamira Hai ya Mafundisho ya Qur’ani

IQNA – Afisa mmoja wa utamaduni nchini Iran ameeleza kuwa matembezi ya Arbaeen ni dhihirisho la wazi la mafundisho ya Qur’ani Tukufu kwa vitendo.
20:44 , 2025 Jul 23
Maonyesho ya Muharram nchini Tanzania yazingatia subira ya Bibi Zaynab (SA)

Maonyesho ya Muharram nchini Tanzania yazingatia subira ya Bibi Zaynab (SA)

IQNA – Mwaka huu, kwa mara ya sita mfululizo, vijana Waislamu wa madhehebu Kishia wa jamii ya Khoja Ithnashari nchini Tanzania wameandaa maonyesho ya Muharram yenye kaulimbiu ya "Subira na Msimamo wa Bibi Zaynab (SA)”.
16:03 , 2025 Jul 22
Wanazuoni wa Kiislamu duniani wataka mataifa ya Kiislamu kuisaidia Gaza

Wanazuoni wa Kiislamu duniani wataka mataifa ya Kiislamu kuisaidia Gaza

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito kwa serikali za Kiislamu na mataifa ya Waislamu kuchukua hatua na kufanya jihadi ili kuisaidia Gaza na kuwaokoa watu wasio na hatia walioko chini ya mzingiro wa Israel katika Ukanda wa Palestina.
15:53 , 2025 Jul 22
Polisi wa Denmark wachunguza shambulio dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS)

Polisi wa Denmark wachunguza shambulio dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS)

IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS).
15:39 , 2025 Jul 22
1