IQNA- Fainali za 24 za Mashindano ya Quran Tukufu Afrika yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation kwa kushirikisha nchi mbalimbali 22 za Afrika na nje ya Afrika yamefanyika kwa mafanikio katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Tanzania Machi 24, 2024.
14:14 , 2024 Mar 27