iqna

IQNA

MAWAIDHA
Pepo Katika Qur'ani / 4
IQNA – Imebainishwa katika aya za Qur’ani Tukufu kwamba dunia hii ni mahali ambapo mwonekano wa mambo unadhihiri na akhera ni mahali pa kuteremshwa Malakut yao.
Habari ID: 3478309    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Mawaidha
IQNA – Shetani ni nomino ya kawaida ambayo hutumiwa kurejelea kila kiumbe mwenye kuhadaa na mpotovu, awe binadamu au asiye binadamu.
Habari ID: 3478136    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03

Mawaidha
IQNA – Qur’ani Tukufu katika aya nyingi inazungumza kuhusu majaribu au mitihani ya Mwenyezi Mungu na jinsi Mwenyezi Mungu huwajaribu wanadamu.
Habari ID: 3478127    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa bahati mbaya, mchakato wa kufafanua dini kuiingiza katika jamii umechukua mwelekeo ambao wakati mwingi hisia za uzuri na wema wa mwanadamu umepuuzwa.
Habari ID: 3477287    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/15

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa kutumia aya za Qur’ani Tukufu, mwanachuoni wa Kiislamu anaeleza jinsi Nabii Ibrahim alivyomtambulisha Mwenyezi Mungu kwa watu wake.
Habari ID: 3476978    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Uzembe na kusahau au kughafikila ni miongoni mwa sifa za binadamu. Mbinu ya kukabiliana nao ni kuarifiwa kila mara kuhusu masuala muhimu.
Habari ID: 3476916    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Mawaidha
Tehran (IQNA) - Kudumisha hali ya kiroho ambayo Mwislamu ameipata wakati wa mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani kunahitaji kutumia miongozo iliyojengeka roho ya mtu binafsi na mawaidha ya wanazuoni wa kidini.
Habari ID: 3476909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Katika saa hizi tunazoelekea mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, tunapaswa kumuomba Mwenyezi Mungu atujaalie rehema zake zisizo na kikomo.
Habari ID: 3476891    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Qur'ani Tukufu imeteremshwa kuwa ukumbusho na mwongozo kwa watu, kwa mujibu wa aya ya 138 ya Surah Al-Imran.
Habari ID: 3476784    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30