iqna

IQNA

madina
IQNA - Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi yamefanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Aprili 17, 2024.
Habari ID: 3478707    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20

Historia
IQNA - Mkutano wa kimataifa uliopewa jina la "Makaburi ya Baqi, Mahali Walimozikwa Maimamu na Masahaba" umefanyika katika mji mtakatifu wa Iran wa Qom siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478700    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Hija na Umrah
IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478698    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/18

Huduma ya matibabu imetolewa kwa zaidi ya mahujaji elfu 18,000 Hija mjini Madina tangu kuanza kwa mwezi huu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477143    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/15

Al-Masjid an-Nabawī
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawī ) huko Madina, ni mojawapo ya maeneo takatifu zaidi katika Uislamu, na umetembelewa na waumini zaidi ya milioni 200 tangu mwanzo wa mwaka huu wa Kiislamu. Hayo yamedokezwa na Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu. .
Habari ID: 3477072    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30

Makka na Madina
TEHRAN (IQNA) - Mnamo usiku wa 27 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaoaminika kuwa Usiku wa Qadr, mamilioni ya waumini walijaa Msikiti Mkuu ya Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3476885    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Misikiti Miwili Mitakatifu
TEHRAN (IQNA) - Kichina kimeongezwa kwenye orodha ya lugha ambazo hutarjumiwa au hutafsiriwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi, katika Vyombo vya Habari.
Habari ID: 3476238    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 8
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Fawzia al-Ashmawi alikuwa mwanazuoni ambaye alitumia maisha yake kueleza na kufafanua kuhusu hadhi ya wanawake katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Habari za Madina
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya chupa milioni 2.2 za maji ya Zamzam ziligawiwa waumini waliofika katika Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) huko Madina katika robo ya kwanza ya mwaka huu wa Hijri.
Habari ID: 3476144    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya waumini wa dini tukufu ya Kiislamu kutoka kona zote za dunia wameendelea kuwasili katika mji mtakatifu wa Makka Ijumaa, wakiwa ni miongoni mwa Waislamu milioni moja wanaotarajiwa kushiriki ibada ya Hija mwaka huu wa 2022 ambapo hii ni mara ya kwanza baada ya miaka miwili ya kuzuia mahujaji kutoka nje ya Saudia kutokana na janga la Covid.
Habari ID: 3475446    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

Ripoti yafichua
TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Waisraeli kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina
Habari ID: 3475415    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

TEHRAN (IQNA)-Tarehe tisa Shawwal ni kumbukizi ya namna Mawahhabi walivyombomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 96 liyopita.
Habari ID: 3475232    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA)- Msikiti Mtakatifu wa Mtume SAW, Masjid an-Nabawi, mjini Madina umesajili watu 4,000 watakaoshiriki katika Itikafu wakati wa siku 10 za mwisho za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475156    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/22

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Quba katika mji wa Madina, ambao ni Msikiti wa kwanza katika Uislamu, unatazamiwa kufanyiwa ukarabati mkubwa na kuongeza ukubwa wake mara kumi zaidi.
Habari ID: 3475098    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia ilithibitisha kwamba matangazo ya moja kwa moja ya au mubashara ya Misikiti Miwili Mitakatifu huko Makka na Madina yataendelea wakati wa mwezi wa Ramadhani baada ya marufuku iliyotangazwa awali kuzua ukosoaji.
Habari ID: 3475074    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/25

TEHRAN (IQNA)- Mijumuiko mkiubwa ya futari itaruhusiwa tena katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram katika mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya kuzuiwa kwa muda wa miaka miwili kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3475045    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya lita milioni 1.2 za maji ya Zamzam zimesambazwa miongoni mwa wanaofanya ziara katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3474552    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Waislamu duniani kote wamepata furaha tele kuona Sala ya Ijumaa katika Misikiti Mitakatifu ya Makka na Madina imerejea katika hali ya kawaida huku waumini wakiwa wamejaa kikamilifu
Habari ID: 3474460    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA) – Shirika la Afya Duniani limeutangaza mji mtakatifu wa Madina kuwa miongoni mwa miji yenye hali bora zaidi ya afya duniani.
Habari ID: 3473599    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/28

TEHRAN (IQNA)- Waislamu kutoka nchi za kigeni ambao wamefika mjini Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah wametembelea Msikiti wa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi mjini Madina kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa.
Habari ID: 3473348    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10