IQNA

Qari wa Misri aliyesafiri katika Nchi 100 kwa ajili ya kusoma Qur'ani

Qari wa Misri aliyesafiri katika Nchi 100 kwa ajili ya kusoma Qur'ani

IQNA - Mohamed Mahmoud Tiblawi alikuwa qari mashuhuri nchini Misri ambaye aliwahi kuwa rais wa Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani nchini humo kwa miaka kadhaa.
21:30 , 2024 May 06
Vijana wa Kiislamu wasema Qur'ani ni muhimu kuliko sheria za Ujerumani

Vijana wa Kiislamu wasema Qur'ani ni muhimu kuliko sheria za Ujerumani

IQNA - Vijana wengi wa Kiislamu nchini Ujerumani wanaamini kuwa Qur'ani Tukufu ni muhimu zaidi kuliko sheria za nchi.
21:26 , 2024 May 06
OIC yataka utawala wa Israel uwajibishwe kutokana na jinai zake Gaza

OIC yataka utawala wa Israel uwajibishwe kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
21:22 , 2024 May 06
Ayatullah Khamenei: Hija ya mwaka huu ni ya kujibari na adui Mzayuni na waitifaki wake

Ayatullah Khamenei: Hija ya mwaka huu ni ya kujibari na adui Mzayuni na waitifaki wake

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangaza kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake.
18:06 , 2024 May 06
Nidhamu ya Utungaji  Sheria Kwa mujibu wa Qur'ani

Nidhamu ya Utungaji  Sheria Kwa mujibu wa Qur'ani

IQNA - Kufanya kazi kikamilifu kwa mujibu wa mfumo wa Sharia (kanuni za kidini) kutaleta utaratibu na nidhamu katika maisha ya kibinafsi na ya kijamii ya Waislamu.
21:57 , 2024 May 05
Maandalizi ya Hija yaendelea vizuri Saudi Arabia

Maandalizi ya Hija yaendelea vizuri Saudi Arabia

IQNA - Huku zaidi ya Waislamu  ilioni 2 wakitarajiwa kuwasili baadaye mwezi huu kwa ajili ya ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka, wakuu wa Saudi Arabia wameimarisha maandalizi ya ibada hiyo ya kila mwaka.
21:14 , 2024 May 05
Malaysia kuwa mwenyeji wa mkutano viongozi wa kidini

Malaysia kuwa mwenyeji wa mkutano viongozi wa kidini

IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur unatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa zaidi wa kimataifa wa viongozi wa kidini barani Asia.
20:51 , 2024 May 05
Mahujaji Wairani watakuwa kuzingatia Qur'ani, kutetea Umoja wa Waislamu

Mahujaji Wairani watakuwa kuzingatia Qur'ani, kutetea Umoja wa Waislamu

IQNA Afisa wa ngazi za juu wa Msafara wa Hija wa Iran amewataka Wairani wanaolekea katika ibada ya Hija mwaka huu kuzingatia zaidi Qur'ani Tukufu, masaibu yanayowakumba Waislamu wa Gaza na suala la umoja wa Waislamu wakiwa katika ibada ya Hija
20:37 , 2024 May 05
Wairani wanaoelekea Hija washiriki kikao cha mafunzo mjini Tehran

Wairani wanaoelekea Hija washiriki kikao cha mafunzo mjini Tehran

IQNA - Maelfu ya mahujaji kutoka Tehran ambao wanatazamiwa Kuhiji mwaka huu walihudhuria mafunzo Mei 4, 2024, katika ukumbi wa viti 12,000 wa Uwanja wa Azadi.
14:34 , 2024 May 05
Kikao cha 15 cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kinafanyika Gambia

Kikao cha 15 cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kinafanyika Gambia

IQNA-Mkutano wa 15 wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulianza jana Jumamosi katika mji mkuu wa Gambia, Banjul.
14:23 , 2024 May 05
Uharibifu uliosababishwa na Israel Gaza haujawahi kuonekana tangu Vita vya Pili vya Dunia

Uharibifu uliosababishwa na Israel Gaza haujawahi kuonekana tangu Vita vya Pili vya Dunia

IQNA-Afisa wa Umoja wa Mataifa anasema uharibifu uliosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haujawahi kuonekana tangu Vita vya Pili vya Dunia, huku akikadiria kuwa ujenzi mpya wa eneo hilo la Palestina unaweza kuchukua miaka 80 na kugharimu hadi dola bilioni 40.
18:47 , 2024 May 04
Qari maarufu wa Iran akisoma ya za Qur'ani Tukufu Surah Al-Ahzab + Klipu

Qari maarufu wa Iran akisoma ya za Qur'ani Tukufu Surah Al-Ahzab + Klipu

IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Seyed Parsa Angoshtan katika klipu hii anasoma aya za 21-24 za Surah Al-Ahzab.
18:40 , 2024 May 04
Qari Abolqassemi wa Iran ahudhuria Maonyesho ya Kwanza ya Qur'ani Kabul

Qari Abolqassemi wa Iran ahudhuria Maonyesho ya Kwanza ya Qur'ani Kabul

IQNA – Qari maarufu wa Iran na mwalimu wa Qur’ani Ustadh Ahmad Abolqassemi amehudhuria toleo la kwanza la maonyesho ya Qur’ani ya Kabul.
18:36 , 2024 May 04
Qur'ani Tukufu yaendelea kuvunjiwa heshima Uswidi

Qur'ani Tukufu yaendelea kuvunjiwa heshima Uswidi

IQNA-Mji wa Malmö nchini Uswidi au Sweden kwa mara nyingine umeshuhudia kkuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu. Kitendo hicho cha kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu kimefanywa kwa ulinzi kamili wa polisi wa nchi hiyo na pia usimamizi wa jukwaa wa Wazayuni.
18:30 , 2024 May 04
Russia yaafiki wanawake Waislamu wanaoomba uraia kuvaa Hijabu wakipigwa picha

Russia yaafiki wanawake Waislamu wanaoomba uraia kuvaa Hijabu wakipigwa picha

IQNA-Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.
18:27 , 2024 May 04
1