iqna

IQNA

shuaisha
Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa nyoyo za wasikilizaji.
Habari ID: 3477657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) –Ustadh Abulainain Shuaisha alijulikana kama Sheikh ul-Qurra (kiongozi wa wasomaji Qur’ani) wa Misri. Alikuwa msomaji mashuhuri wa Qur’ani na mtu wa mwisho kutoka katika ‘kizazi cha dhahabu’ cha wasomaji Qur’ani wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3476295    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24