iqna

IQNA

yakub
Shakhsia katika Qur’ani /18
TEHRAN (IQNA) – Mitume wa Mwenyezi Mungu walikuwa watu wake wateule waliopita mitihani migumu aliyowapa. Miongoni mwa mitihani hiyo ni ile ya Yakub-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake -(AS)- ambaye alilazimika kustahamili kutengana na mwanawe, Yusuf (AS), kwa muda wa miaka 50.
Habari ID: 3476173    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30