iqna

IQNA

karnataka
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi Waislamu wa kike nchini India Jumatano wamewasilisha ombi katika Mahakama ya Juu ya India wakitaka waruhusiwe kufanya mitihani ya kila mwaka ya vyuo vya Karnataka wakiwa wamevalia vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3476614    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

TEHRAN (IQNA)- Siku kadhaa baada ya shule za jimbo la Karanatka la kusini mwa India kuwapiga marufuku wanafunzi wanawake Waislamu kuvaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu, mahakama ya nchi hiyo imeidhinisha rasmi uamuzi huo wa kibaguzi.
Habari ID: 3475046    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu kutoka dini zote walikusanyika mjini Johannesburg siku ya Ijumaa kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na vitisho vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu katika baadhi ya maeneo ya India.
Habari ID: 3474979    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26