Wanafunzi Waislamu wanaosoma katika shule za umma au za binafsi zisizokuwa za Waislamu katika jimbo la California nchini Marekani wamefanyiwa uonevu au ubaguzi kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili kwa wastani wa kitaifa.
2015 Nov 02 , 00:01
Maulama na wasomi wakubwa walioshiriki katika kongamano la pili la kimataifa la 'Kuitafakari Qur'ani' lililomalizika nchini Morocco wamelaani vitendo vya ugaidi na makundi yenye misimamo mikali inayokinzana na mafundisho sahihi ya kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu.
2015 Oct 31 , 13:34
Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa Myanmar itakumbwa na mgogoro mkubwa iwapo uchaguzi wa wiki ijayo hautazingatia vigezo muhimu ikiwa ni pamoja na kuwapa Waislamu haki ya kupiga kura.
2015 Oct 31 , 13:15
Amnesty yalaani ukatili wa Israel
Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameishambulia hospitali katika wa Quds, inaoukalia kwa mabavu, baada ya wakuu wa hospitali hiyo kukataa kutoa taarifa kuhusu Wapalestina waliotibuwa hapo.
2015 Oct 30 , 09:52
Wanaharakati wameandamana tena nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London kupinga hukumu ya kifo iliyotolewa na mahakama kuu dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Nimr Baqir An-Nimr.
2015 Oct 30 , 09:22
Iran imelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya hospitali moja nchini Yemen.
2015 Oct 28 , 22:21
Wanajeshi wa utawala katili wa Kizayuni wanaendelea kufanya jinai katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu kama vile Ukingo wa Magharibi na Ukanda Ghaza.
2015 Oct 28 , 22:16
Umoja wa Mataifa umetakiwa kuingilia kati na kuuzuia utawala wa Saudi Arabia kutekeleza hukumu ya kifo dhidi ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini humo.
2015 Oct 27 , 07:01
Makumi ya maelfu ya raia wa Morocco wamefanya maandamano makubwa mjini Casablanca kupinga hujuma za utawala haramu wa Israel katika msikiti wa al-Aqsa.
2015 Oct 27 , 06:58
Waziri wa Awqaf nchini Misri katika kuendeleza uhasama na chuki zake dhidi ya madhehebu ya Shia amewataka Mashia nchini humo kutoa taarifa rasmi ya kutangaza kuipinga Iran ili kuoneysha nia yao njema!
2015 Oct 26 , 18:28
Hujuma mbili za kigaidi zilizolenga misikiti kaskazini mashariki mwa Nigeria zimepelekea watu wasiopungua 55 waliuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa.
2015 Oct 25 , 14:51
Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbalimbali za dunia wameshiriki maombolezo ya Ashura kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume mtukufu, Muhammad SAW, yaani Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib AS. Nchini Iran misafara na maandamano ya mamia ya maelfu ya watu inaendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali katika kukumbuka siku ya Ashura.
2015 Oct 25 , 14:40
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema watawala madhalimu wanapanga njama za kudhoofisha umma wa Kiislamu kwa kuuweka mbali na thamani za misingi ya haki.
2015 Oct 25 , 14:31