iqna

IQNA

bosnia
Jinai dhidi ya Waislamu
Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi Kajsa Ollongren amewaomba msamaha kwa Waislamu wa Bosnia na ameshiriki katika ibada ya kumbukumbu ya 27 ya waathirika wa mauaji ya kimbari ya Srebrenica.
Habari ID: 3475492    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

TEHRAN (IQNA)- Mabaki ya miili ya Waislamu 12 ambao waliuawa katika vita vya ndani vya Bosnia kati ya mwaka 1992-95 yamepatikana katika kaburi la umati karibi na mji wa Sarajevo.
Habari ID: 3471991    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/09

Habari ID: 3470417    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/26

Waislamu huko Bosnia Herzegovina wamebainisha kusikitishwa na kifungo cha miaka 40 tu jela alichohukumiwa Radovan Karadzic aliyekuwa kiongozi wa zamani wa Bosnia Serbia ambaye amepatikana na hatia ya kuua Waislamu 7,000.
Habari ID: 3470214    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/25

Duru ya 10 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Bosnia na Herzegovina yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Sarajevo.
Habari ID: 3458214    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Shirikisho la Kimataifa la Basketboli FIBA limewaruhusi wachezaji wanawake Waislamu kuvaa Hijabu katika mechi za mchezo huo mashuhuri.
Habari ID: 3353719    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29