iqna

IQNA

hassan rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kukaribia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa, Quds (Jerusalem) katu haitasahauliwa na haitaendelea kubakia katika uvamizi wa madhalimu.
Habari ID: 3472785    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/20

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misikiti iliyokuwa imefungwa kuzuia kuenea corona (COVID-19) nchini itafunguliwa katika 'maeneo meupe', yaani maeneo ambayo hatari ya kuenea corona ni ndogo.
Habari ID: 3472732    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA)- Marais wa Iran na Afrika Kusini wamesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja za biashara na uchumi na pia wakasema kuna udharura wa kubadlishana uzoefu katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona sambamba kuboresha ushirikiano wa kiafya na kisayansi.
Habari ID: 3472711    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haiitakuwa muanzishaji wa taharuku na mapigano katika eneo."
Habari ID: 3472701    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran ametangaza mipango na mikakati mipya ya kudhibiti maambukizi ya kirusi cha corona hapa nchini ndani ya wiki mbili zijazo.
Habari ID: 3472604    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/26

Rais wa Iran katika ujumbe maalumu wananchi wa Marekani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe maalumu wananchi wa Marekani akitahadharisha kuwa: Siasa zozote za uono finyu na za uhasama zitazolenga kudhoofisha mfumo wa utabibu na kuviwekea mpaka vyanzo vya fedha vya kushughulikia hali mbaya iliyoko Iran zitakuwa na athari ya moja kwa moja kwa mchakato wa kupambana na janga la dunia nzima la corona katika nchi zingine.
Habari ID: 3472588    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/21

Rais Hassan Rouhani katika ujumbe wa Nairuzi*
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran ametuma ujumbe wa munasaba wa mwaka mpya wa Kiirani wa 1399 Hijria Shamsiya na kusema mwaka mpya utakuwa mwaka wa afya, ajira na ustawi wa kiuchumi na kiutamaduni nchini Iran.
Habari ID: 3472583    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/20

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.
Habari ID: 3472461    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/11

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia majibu makali yaliyotolewa usiku wa kuamkia leo na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ya kuwashambulia magaidi wa Kimarekani katika kambi zao mbili za kijeshi nchini Iraq na kusema kuwa, majibu kamili ya Iran kwa jinai za Wamarekani ni kukatwa miguu yao kwenye eneo hili.
Habari ID: 3472354    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/08

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani amesema: Jina la Luteni Jenerali Qassem Soleimani litaheshimika na kubakia milele katika historia ya taifa la Iran na wapigania uhuru duniani.
Habari ID: 3472334    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/04

TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa kheri na pongezi kwa Wakristo kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Isa Masih (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) inayoadhimishwa leo na ambayo ni maarufu kama Krismasi.
Habari ID: 3472303    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una changamoto nyingi kitaifa na kimataifa na kusisitiza kuwa, nchi za Kiislamu zinapaswa kuwa na tadibiri na mikakati madhubuti ya kuachana na ubeberu wa sarafu ya dola wa kutegemea mfumo wa kifedha wa Marekani.
Habari ID: 3472287    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/19

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Ulaya na Marekani hazina azma ya kurejesha amani huko Yemen bali pande hizo zinafuatilia kuuza silaha zao.
Habari ID: 3472254    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameatangaza kuwa, awamu ya tatu ya Iran kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) itaanza kutekelezwa Ijumaa.
Habari ID: 3472115    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/05

TEHRAN (IQNA) -Iran imesimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA), ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.
Habari ID: 3471946    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/08

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran Jamhuri ya Kiislamu amesema nchi hii katu haitasitisha uuzaji wa mafuta ghafi yake ya petroli katika soko la kimataifa pamoja na kuwepo mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani.
Habari ID: 3471936    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30

Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Alhamisi ametuma ujumbe kwa kunasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijria Shamsiya na kusema mwaka 1397 ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa ya taifa la Iran katika nyuga mbali mbali na kuongeza kuwa, kwa yakini taifa la Iran litapata ushindi na litavuka matatizo yaliyopo.
Habari ID: 3471883    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21

TEHRAN (IQNA)-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma za kigaidi zilizolenga misikiti miwili jana mjini Christchurch New Zealand na kupelekea Waislamu wasiopungua 49 kuuawa shahidi wakiwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471878    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/16

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu kuwepo uthabiti na amani nchini Myanmar. Aidha amesisitiza kuwa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya warejeshwe haraka na kwa usalama katika makazi yao nchini Myanmar.
Habari ID: 3471869    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/09

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa pongezi viongozi na mataifa ya Wakristo kwa munasaba wa kuanza mwaka mpya wa 2019 Miladia.
Habari ID: 3471793    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/01